Jumanne, 30 Septemba 2014

CHAMA CHA WANAWAKE WA AFRIKA WAKABIDHI WASHINE YA KUPIMA SALATANI KWA MAMA SALMA KIKWETE

Chama cha wa Wanawake na wakereketwa wa salatani Afrika wamemkabidhi Mke wa Rais na Mwenyekiti  wa wanawake na maendeleo WAMA Mama Salma Kikwete  mashine ya kupimia salatani kwa wanawake Watanzania kwa thamani ya milion mbili hapo juzi uko Woshington DC.

Wanawake hao wakereketwa wa ugonjwa wa salatani wameamua kutoa mashine katika nchi za Afrika katika kuakikisha kuwasaidia wanawake wa bara la Afrika




Pichani ni Mama Salma kikwete akishukuru baada ya kukabidhiwa mashine ya salatani

Mama Salma kikwete ameshukuru kwa niaba ya watanzania na kusema mashine hiyo itasaidia kupunguza na kuokoa vifo vya wanawake wengi vinavyosababishwa na salatani na kuwasaidia wanawake kufanya uchunguzi wa afya zao mabema ili kubaini kama wanatatizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni