Wanawake hao wakereketwa wa ugonjwa wa salatani wameamua kutoa mashine katika nchi za Afrika katika kuakikisha kuwasaidia wanawake wa bara la Afrika

Pichani ni Mama Salma kikwete akishukuru baada ya kukabidhiwa mashine ya salatani
Mama Salma kikwete ameshukuru kwa niaba ya watanzania na kusema mashine hiyo itasaidia kupunguza na kuokoa vifo vya wanawake wengi vinavyosababishwa na salatani na kuwasaidia wanawake kufanya uchunguzi wa afya zao mabema ili kubaini kama wanatatizo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni