Moja ya matatizo wanayokutananayo ni kumwagiwa chakula na mgambo na kusema ni kitu kinachowakatisha tamaa na kuwafanya wafanye kazi zao kwawoga kutokana na kumwagiwa chakula na kulazimishwa kuama na kwenda sehemu nyingine ambayo kwao ni ngumu kupata wateja.
![]() |
| Mama intilie akiachaa chakula cha asubuhi kwa wateja wake huku wateja wengine wakionekana wakipata chai |
![]() |
| Picha mama Elias (kushoto) na mama Ramadhan wakiandaa chakula pembeni mwa barabara |


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni