Kamanda wa polisi mkoani Bukoba amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kutoa tamko kwa wananchi kwa ambao wanajiusisha na matukio kama haya watakapo kamatwa hawatakuwa na msamaha na kufuata sheria ili kuakikisha matukio haya hayawi endelevu.
Ni siku chache zimepita toka mwanamke mmoja kunyweshwa madawa ya kulevya na kuibiwa mtoto bado kuna matukio mengi yanaendelea kutokea ya kuibiwa kwa watoto ambao wamekuwa wakiuwawa na watu wasiojulikana na wengi wao kuibiwa.
Hata hivyo kamanda wa polisi mkoa wa Dar es salaamamewatoa hofu wananchi kwa amekanusha maneno ya watu yanayovuma ya kuwa wapo watu ambao wanatumia gari aina ya Noah na kuteka watoto na kuwataka wazazi kuwa walinzi wa watoto wao huku uchunguzi ukiendelea kufanyika kuhusu matukio hayo ambayo yanaendelea na kuwataka wazazi kuwaacha wototo waende shule.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni