Ijumaa, 24 Oktoba 2014

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU AFUNGUA VIKOBA

Mbunge wa Jimbo la Temeke Mh.Abbas Mtemvu amefungua vikoba kwa lengo la kuwanufaisha wananchi asa wa Temeke ili kuakikisha vikoba viwasaidie kupata fedha kwaajiri ya kufanikisha maitaji yao pindi wanapoitaji kukopa.



Mbunge  mh Abbas Mtemvu akikabidhiwa T shirt wakati akifungua mfuko huo wa vikoba


Ufunguzi huo umefanyika katika Viwanja vya TCC Clud Jijini Dar es salaam Mbunge huyo  amewataka wananchi kutumia mfuko huo kwa kuweka fedha ambazo zitawasaidia pindi watakapokuwa wanamaitaji makubwa ya fedha hizo na kuwasisitizia kuhushimu mfuko huo kwakua utakua ni mali yao.

Pia Mh. Mtemvu amewataka wanawake kuutumia mfuko huo katika kuakikisha wanatumia fulsa hiyo katika kuhakikisha wanakamilisha mipango yao ya kifamilia na maendeleo.

Baadhi ya wanachama wakishuhudia uzinduzi wa vikoba hivyo



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni