Alhamisi, 9 Oktoba 2014

MASHINDANO YA MISS TANZANIA YARUHUSIWA KUENDELEA KUFANYIKA OKTOBA 11

Mashindano hayo ambasho yanawausisha wanawake yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 11 mwaka huu  yameruhusiwa na mahakama kufanyika baada ya kutupilia mbali maombi la dharura yaliyowasilishwa na
Prashant Peter dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendesha kinyang'anyiro  hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao


Mashindano hayo yamekua na manufaha kwa wanawake wengi wanaoshiriki na kuwafanya wapige hatua kimaisha na kuwa wajumbe wazuri katika kusaidia matatizo wanayopata wanawake na watoto hasa kwenye afya.




Kumekuwa na watu wachache ambao wamekuwa wakiwasaidia baadhi ya makundi kama wanawake katika kuwavusha katika hatua nyingine na mashindano haya ya ulembo yamewawezesha wanawake wengi ambao wameitumia fursa hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni