![]() |
| Pichani ni mwili wa mtoto Alafat anayedaiwa kunyongwa kisha kutupwa kwenye dimbwi la maji |
Akizungumza
kwa uchungu, mama mzazi wa mtoto huyo, Zakia Peter ambaye amelazwa
katika Zahanati ya Kellen kutokana na mshtuko wa kifo cha mwanaye,
alisema siku ya tukio, hausigeli huyo aliyekuwa na siku mbili tangu
aanze kazi aling’ang’ania kutumwa sokoni saa mbili asubuhi ambapo
alimkubalia na kumuagiza mboga.
Mama
wa marehemu aliendelea kusema kuwa zoezi la kumsaka msichana huyo na
mtoto wake liliendelea mpaka Jumanne iliyopita ambapo habari zilisambaa
kwamba kuna maiti ya mtoto wa kiume imekutwa ikielea kwenye dimbwi la
maji machafu linalotumika kumwagilia bustani za mboga maeneo hayo.
![]() | |||
| Mama wa mtoto akiwa ospitali baada ya kuzimia |
Hili ni moja ya tukio ambayo yamekua yakilipotiwa yanayofanywa na wadada wakazi hii iwakumbushe wanawake wengine kuwa na hisporia nzuri ya wasichana wanowachukua ili kuepuka matatizo kama haya.


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni